Kutoka nchini Zambia kwa mara ya kwanza tumekusogezea wimbo
unaokwenda kwa jina la Take Me Deeper ulioimbwa na mwimbaji Taonga akiwa
amemshirikisha Keisha.
Kwa moyo mkunjufu tunakukaribisha kusikiliza wimbo huu mzuri na hakika utabarikiwa, Amen.
Video kali kabisa kutoka kwake Fabrice J Prince unaokwenda kwa jina la Bila wewe, nyimbo hii inaelezea kuhusu huyu Mungu jinsi anavyotute...
About Gospel Sharom
Kanuti Mmbaga Smart is a Social Media Strategist & a Minister Of The Gospel! I'm also a widely online publisher, leading the revolution in Gospel Media #KingdomBlogger
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni