Ngosa Mubengwa maarufu kama Ble-ssed ni mwimbaji wa nyimbo za injili
kwa mtindo wa rap kutoka nchini Zambia na leo tunautambulisha kwako
wimbo wake mpya unaokwenda kwa jina la WAR.
Mbali na kufanya rap Ble-ssed ni moja kati ya waimbaji wenye vipaji vingi kama uandishi wa nyimbo na uigizaji.
Kwa moyo mkunjufu tunakukaribisha kusikiliza wimbo huu na ni imani yetu kuwa utakubariki, Amen.
Video kali kabisa kutoka kwake Fabrice J Prince unaokwenda kwa jina la Bila wewe, nyimbo hii inaelezea kuhusu huyu Mungu jinsi anavyotute...
About Gospel Sharom
Kanuti Mmbaga Smart is a Social Media Strategist & a Minister Of The Gospel! I'm also a widely online publisher, leading the revolution in Gospel Media #KingdomBlogger
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni