Kutoka nchini Zambia kwa mara ya kwanza tumekusogezea wimbo
unaokwenda kwa jina la Take Me Deeper ulioimbwa na mwimbaji Taonga akiwa
amemshirikisha Keisha.
Kwa moyo mkunjufu tunakukaribisha kusikiliza wimbo huu mzuri na hakika utabarikiwa, Amen.
Tamasha kubwa na la aina yake maarufu kama Cheka Tena linatarajiwa kuanza kwa kishindo mwaka 2019 kwa mikoa yote ya Tanzania Bara, C...
About Gospel Sharom
Kanuti Mmbaga Smart is a Social Media Strategist & a Minister Of The Gospel! I'm also a widely online publisher, leading the revolution in Gospel Media #KingdomBlogger
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni